Ijumaa, 4 Oktoba 2013

DACICO FM -RADIO- KUZINDULIWA NA WANAFUNZI MATAWI YA MBEYA, SUMBAWANGA NA DAR ES SALAAM.

 Mkurugenzi Mkuu wa DACICO TANZANIA- Idrisa Mziray, akiwa kwenye Studio ya Matangazo ya Radio ya Chuo ambayo inatarajia kuanza kusikika kwenye maeneo ya  jijini Dar es Salaam.                      
Baadhi ya Wanafunzi wa Chuo cha DACICO, Wakiwa katika STUDIO ZA DACICO FM.Kulia ni Rais wa Chuo cha DACICO, Kisiza Leonald
Baadhi ya Wanafunzi wa Chuo cha DACICO, Wakiwa katika STUDIO ZA DACICO FM
 
Baadhi ya Wanafunzi wa Chuo cha DACICO, Wakiwa katika STUDIO ZA DACICO FM

DACICO FM RADIO- TANZANIA- Kuvuma sasa Hewani, Mkurugenzi Mkuu wa DACICO TANZANIA- Idrisa Mziray, asema kuanza kurusha Matangazo katika jiji la Dar es Salaam na Pwani.

Mkurugenzi Mkuu wa DACICO TANZANIA- Idrisa Mziray, akiwa kwenye moja ya Ofisi zake jijini Dar es Salaam.
Mkurugenzi Mkuu wa DACICO TANZANIA- Idrisa Mziray, akiwa kwenye Studio ya Matangazo ya Radio ya Chuo ambayo inatarajia kuanza kusikika kwenye maeneo ya  jijini Dar es Salaam.  (Picha Zote kwa Hissani ya Miss Demokrasia Tanzania)

DACICO TANZANIA- YAWAPA WANAFUNZI AKAUNTI CRDB BANK.

Baadhi ya Wanafunzi wa Chuo cha DACICO TANZANIA- Wakifuatilia kwa Makini Semina ya Kufungua Akaunti ya CRDB Bank, iliyotolewa makao Makuu ya Chuo Kibamba CCM. Jiijini DAR ES SALAAM.
Mmoja wa Wanafunzi wa DACICO TANZANIA- akiuliza moja ya Maswali kuhusiana na Benki ya CRDB.
Meneja Mauzo wa Benki ya CRDB, Rosemarry Nchimbi, (kati)akifafanua Jambo kuhusiana na Huduma za Kibenki za Benki hiyo kwa Wanafunzi wa Chuo cha DACICO TANZANIA, Katika Mafunzo ya Semina ya Siku Moja iliyotelewa na Maafisa wa Benki ya CRDB, Makao Makuu ya Chuo-Kibamba CCM-Jijini Dar es Salaam.
Meneja Mauzo wa Benki ya CRDB, Rosemarry Nchimbi, (kati)akifafanua Jambo kuhusiana na Huduma za Kibenki za Benki hiyo kwa Wanafunzi wa Chuo cha DACICO TANZANIA, Katika Mafunzo ya Semina ya Siku Moja iliyotelewa na Maafisa wa Benki ya CRDB, Makao Makuu ya Chuo-Kibamba CCM-Jijini Dar es Salaam.
Meneja Mauzo wa Benki ya CRDB, Rosemarry Nchimbi, akifafanua Jambo kuhusiana na Huduma za Kibenki za Benki hiyo kwa Mwalimu Michael Jackison wa Chuo cha DACICO TANZANIA, Katika Mafunzo ya Semina ya Siku Moja iliyotelewa na Maafisa wa Benki ya CRDB, Makao Makuu ya Chuo-Kibamba CCM-Jijini Dar es Salaam.
Akaunti Meneja wa Benki ya CRDB, Emmanuel Simbengale, akisaidia kujaza fomu za akaunti za Benki hiyo kwa mwanafunzi wa Chuo cha DACICO TANZANIA,
Akaunti Meneja wa Benki ya CRDB, Mussa Mvungi, akisaidia kujaza fomu za akaunti za Benki hiyo kwa Wanafunzi wa Chuo cha DACICO TANZANIA,
Akaunti Meneja wa Benki ya CRDB, Sara Luje, akisaidia kujaza fomu za akaunti za Benki hiyo kwa wanafunzi wa Chuo cha DACICO TANZANIA,
Akaunti Meneja wa Benki ya CRDB, Sara Luje, akisaidia kujaza fomu za akaunti za Benki hiyo kwa wanafunzi wa Chuo cha DACICO TANZANIA,
Meneja Mauzo wa Benki ya CRDB, Rosemarry Nchimbi, akifafanua Jambo kuhusiana na Huduma za Kibenki za Benki hiyo kwa wanafunzi wa  Chuo cha DACICO TANZANIA, Katika Mafunzo ya Semina ya Siku Moja iliyotelewa na Maafisa wa Benki ya CRDB, Makao Makuu ya Chuo-Kibamba CCM-Jijini Dar es Salaam.          (Picha Zote kwa Hissani ya Miss Demokrasia Tanzania).