Chuo cha Uandishi wa Habari na Utawala (DACICO TANZANIA) siku ya kesho kutakuwa na Bonanza la Maandalizi ya Tamasha la Vyuo vya Elimu ya Kati Tanzania( NACTE INTER COLLEGE TANZANIA 2014/2015), kwa ajili ya Vyuo vilivyopata Usajili wa Serikali yaani NACTE TANZANIA, hivyo michezo hiyo kwa Chuo cha DACICO ni Maandalizi ya kuhakikisha Dacico inaibuka kidedea katika Tamasha hilo Kubwa na la aina yake.


Bonanza hilo hapo kesho linatazamiwa kuanza mapema majira ya saa mbili asubuhi ambapo kocha wa timu ya Dacico Walimu Sir- Henry amejigamba kuibuka na ushindi mnono dhidi ya timu ya wanafunzi, lakini wakati huo huo akiwataka Wachezaji wa Timu ya Wanafunzi, kucheza Mchezo wa Utulivu ili kuhepuka kuwaumiza walimu ambao kwa Muda Mwingi wamefanya Maandalizi yao kwenye Vitabu kutokana na kuwa na Majukumu Mengi ya Ufundishaji wa Masomo kwa Wanafunzi.

NA HIKI NDICHO KIKOSI KAMILI CHA TIMU YA WALIMU WA DACICO.
1, Idrisa Mziray
2, Sir- Masawe
3, Sir Malima
4, Sir Mpalule
5, Sir Mpoto
6, Mr. Ombeni
7, Sir Kelvini
8, Mr. Sam
9, Sir Michael Jackison
10, Sir Michael Jeremia
11, Sir Kasilima
Wachezaji wa Akiba ni
Mr. Cholo
Sir. Kisima
Sir. Kazimoto
Kocha Mkuu HENRY Hawa ni Baadhi ya Washiriki wa Michezo mbali mbali kwa Upande wa Timu za Wanawake wa Chuo cha DACICO.
1. Doris Mchome,
2. Alice
3. Lucy
4. Veronica
5. Mwanahawa
6. Monica
www.missdemocrasiatz.com
7.Violet
8. Laura Solima
9. Felister
10. Pepetua Luguga
11. Neema
12. Anthonia
13. Farida
14, Kalister
15, Victoria Godwin
======================================================
Baada ya michezo ya Timu za wenyewe kwa wenyewe DACICO Walimu na DACICO Wanafunzi, utafuata mpambano wa Timu ya K.E.C ya Shirika la Elimu Kibaha(Njuweni).
unaweza pia kufuatilia michezo ya Bonanza hilo la Maandalizi ya Tamasha la NACTE INTER COLLEGE TANZANIA 2014/2015.
Wanafunzi Wote wa DACICO mnakaribishwa sana.
kwa habari zaidi bofya hapa. www.daressalaamcitycollege.blogspot.com
www.missdemokrasia.blogspot.com
Kocha Mkuu HENRY Hawa ni Baadhi ya Washiriki wa Michezo mbali mbali kwa Upande wa Timu za Wanawake wa Chuo cha DACICO.
Na kwa Upande wa Timu ya Wanawake watakaoshiriki katika mchezo wa Netball ni Pamoja na Wachezaji
1. Doris Mchome,
2. Alice
3. Lucy
4. Veronica
5. Mwanahawa
6. Monica
www.missdemocrasiatz.com
7.Violet
8. Laura Solima
9. Felister
10. Pepetua Luguga
11. Neema
12. Anthonia
13. Farida
14, Kalister
15, Victoria Godwin
======================================================
Baada ya michezo ya Timu za wenyewe kwa wenyewe DACICO Walimu na DACICO Wanafunzi, utafuata mpambano wa Timu ya K.E.C ya Shirika la Elimu Kibaha(Njuweni).
unaweza pia kufuatilia michezo ya Bonanza hilo la Maandalizi ya Tamasha la NACTE INTER COLLEGE TANZANIA 2014/2015.
Wanafunzi Wote wa DACICO mnakaribishwa sana.
kwa habari zaidi bofya hapa. www.daressalaamcitycollege.blogspot.com
www.missdemokrasia.blogspot.com