Ijumaa, 27 Septemba 2013

DACICO TANZANIA YAPATA KATIBA YAKE, WANAFUNZI WASHIRIKI KUFANYA UZINDUZI DAR ES SALAAM.

BAADHI YA WANAFUNZI WAKIFUATILIA KWA MAKINI UZINDUZI WA KATIBA  YAO NA MAELEZO KUHUSIANA NA HIYO KATIKA, AMBAYO WAMECHANGIA KWA ASILIMIA 80 KUWASILISHA MAONI YAO JUU YA MWONGOZO HUO MUHIMU KWA CHUO NA WANAFUNZI.
MKURUGENZI MKUU WA DACICO TANZANIA, IDRISA MZIRAY(kulia), AKIPOKEA NAKALA YA KATIBA HIYO KUTOKA KWA RAIS WA  CHUO CHA  DACICO,KISIZA LEONALD.
Rais wa Chuo cha DACICO,Kisiza Leornald na Makamu Mkurugenzi wa Chuo, Vedasto Malima, wakionyesha KATIBA hiyo kwa Wanafunzi
BAADHI YA WANAFUNZI WAKIFUATILIA KWA MAKINI UZINDUZI WA KATIBA  YAO NA MAELEZO KUHUSIANA NA HIYO KATIKA, AMBAYO WAMECHANGIA KWA ASILIMIA 80 KUWASILISHA MAONI YAO JUU YA MWONGOZO HUO MUHIMU KWA CHUO NA WANAFUNZI.
MKURUGENZI MKUU WA DACICO, (kati)WALIMU NA WANAFUNZI WA DACICO KATIKA PICHA YA PAMOJA BAADA YA MKURUGENZI KUIZINDUA RASMI .
Mwalimu Henry Gaudence(Mkufunzi) katika Chuo cha DACICO, akitoa ufafanuzi kuhusiana na KATIBA hiyo.
Mwalimu ,Greyson Mgoyi(Mkurugenzi wa Utawala na Mipango)akifafanua jambo wakati wa Uzinduzi huo

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni