Jumatano, 6 Novemba 2013

WANAFUNZI DACICO WAENDELEA NA MITIHANI KATIKA CUMPUS YA DAR, MBEYA NA SUMBAWANGA.

Baadhi ya Wanafunzi wa DACICO, Wakiwa katika Vyumba vya Mitihani Leo tarehe 6/11/2013, Cumpus ya Dar es Salaam.
Baadhi ya Wanafunzi wa DACICO, Cumpus ya Dar es Salaam, Muda mfupi kabla ya kuanza mitihani, wakisimama kwa ajili ya kupata Maombi.(Picha Zote kwa Hisani ya Miss Demokrasia Tanzania).

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni