Jumamosi, 12 Aprili 2014

DACICO FM RADIO IMETOA POLE ROZINA MCHOMVU- KWA KUONDOKEWA NA BABA YAKE.

Kwa niaba ya serikali ya wanafunzi na uongozi wa chuo cha uandishi wa habari na utawala Dar es salaam city college nasikitika kutangaza kifo cha baba wa mwanafunzi Rozalina Mchomvu pamoja na dada yake Rozina Mchomvu ambaye ni katibu mkuu wa serikali ya wanafunzi Dacicostua tangu Novemba mwaka jana, kifo hicho cha baba yao kimetokea leo mchana baada ya kuugua muda mrefu, msiba upo nyumban kwao Mbagala...

Good dreams dudez! Saa mbaya.

Bado Nipoogo,Je Dacico mpoogo?

Like ·

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni