Jumanne, 15 Julai 2014

HOTUBA YA MGENI RASMI NAIBU WAZIRI WA HABARI, VIJANA,MICHEZO NA UTAMADUNI MHESHIMIWA JUMA SOLOMON NKAMIA KATIKA MAHAFALI YA 13 YA CHUO CHA UANDISHI WA HABARI NA UTAWALA DAR ES SALAAM CITY COLLEGE . JUMAMOSI TAREHE 5, JULAI 2014 – KIBAMBA CCM DAR ES SALAAM

Ndugumkuuwachuo, Ndugumkurugenzimtendaji, Nduguwajumbewabodi, Nduguwakufunzi, Nduguviongoziwaserikali, Nduguviongoziwavyama, Nduguwaalikwa
,mabibinamabwana.Awaliyayotenitangulizeshukranizanguzadhatikwakunialikakuwamgenirasmikatikahaflahiiadhimuyamahafaliya 13 yawahitimuwachuohiki.
Aidhanitumiefursahiikuupongezauongoziwachuo ,siotukwakuwamiongonimwawawekezajiwazawawenyemafanikiokatikasektayaelimu,balikwamchangomkubwaambaochuohikikinatoakatikakukuzataalumayauandishiwahabarinataalumanyinginezonchini. Hakikamafanikiohayanimajibunatafsiriyavitendoyajuhudizaserikalina sera zachama cha mapinduziyakukuzaelimunakutoafursakwawawekezajiwazawakatika Nyanja mbalimbali.
Ndugu, mkuuwachuoniwapongezenizaidikwakuwamatundayachuochenuyamekuwanamanufaamakubwakwataifanajamiikwaujumla, ambapommewezakutoaajirakwazaidiyawatanzania 50 ambaowameajiriwakatikachuohiki, lakinipiakwaniabayaserikalichiniyauongozimadhubutiwaMheshimiwa,Dr. JakayaMrishoKikweteniwapongezekwajinsiambavyommewezakulichangiataifakwakutoawataalamuwataalumambalimbaliikiwemoyauandishiwahabari, Utawaawabiashara, Ugavi, Utunzajiwakumbukumbu, Maendeleoyajamiinanyinginezoambapompakasasajumlayawahitimuzaidiya 2000 wameshahitimumkiwemoninyimnaohitimuleo.
NitoepongezizapekeekwaninyiwoteambaoleohiimnahitimukatikangazimbalimbalizaAstashahadanastashahada. Ni matumainiyangunayaserikalikuwamtakwendakutumiaaelimunaujuzimlioupatakwamanufaayaTaifa,Jamiinafamiliazenu.
Kama serikalinaTaifa,tunamatumainimakubwananyi, kwambamtakuwasehemumuhimuyajuhudizaserikalizakukabiliananachangamotoyaupungufuwawataalamwasektambalimbali,ikiwemoyauandishiwahabari.
Ndugu,wahitimu ,viongozimabibinamabwana, taalumayauandishiwahabariinakabiliwanachangamotokubwayakuvamiwanawatuambaohawanataalumahiyo,jamboambalolimesababishawakatimwinginekuandikahabaribilayakuzingatiamaadilinakanunizataalumahiyo,hivyokuilazimishaserikalikuchukuahatuambalimbalikwawahusikaikiwemokuvifungiavyombovyahabarihusika.
Naombaielewekekuwa,nidhamirayaserikalikuonakwambasektayahabariinakuwanawatuwenyeweledinamaadilimakubwakwataalumahiyonaTaifakwaujumla. Ndiyomaana ,serikaliimetoafursakwavyuobinafsikuwepoilikusaidiakuzalishawataalamhivyokupunguzanakuondoakabisatatizo la uhabawawanataalumanamakanjanjakatikatasniayahabarinchini. Nimefarijikasana, kusikiakuwachuohikikimewezakutoawahitimuambaohivisasawameajiriwakatikavyombombalimbalivyakitaifanakimataifa ,likiwemoshirika la Utangazaji la Taifa TBC, shirikabinafsi la Utangazaji la kimataifa la Eljazeera, shirika la utagazaji la nchiyaUingereza BBC naasasimbalimbalizabinafsinazaumma.
Kwaniabayaserikali,kwakushirikiananamamlakanyinginezaummanabinafsininaahidikusaidiakulipatiaufumbuzichangamotoyaurasimukatikaupatikanajiwamafunzokwavitendonaajirakwaujumla. Lakinipianatambuachangamotoyawanafunziwavyuovyakatikamahikikutopatiwamikopoyamasomonaserikali, naaminikuwawakatisasaumefikakwamamlakahusikanamikopokuangaliauwezekanowakupanuawigowautoajiwamikopo.
Juuyaupatikanajiwamaeneoyaviwanjavyamichezo, niziombemamlakazaserikalinamanispaayawilayayakinondoni,ziwezekusaidianakuangaliauwezekanowakupatikanakwamaeneoyaviwanjavyamichezo. Kwachuoambacho kina wanafunzizaidiya 500, kamahiki, nidhahirikuwavipajivyamichezonautamaunihavikosekani,hivyokutoauwezekanomkubwawakupatavijanaambaowanawezakuwakilishaTaifakatikamichezombalimbali,lakinipiamichezoniafya,Michezoniajira.
Aidhaningependakuwasihivijanamnaohitimusikuyaleonavijanawenginewotekwaujumlakuhakikishamnatimizawajibuwenuwamsingiambaonikufanyakazikwabidiinakuwawabunifujuuyasualazima la ajirakwanikilamwakaidadiyawahitimuhapanchininikubwasanaukilinganishanafursazakuajiriwazilizopo. Serikaliinaahidikuendeleakuajiriwahitimuwengizaidikatika Nyanja mbalimbalihukuikiendeleakulipatiaufumbuzisuala la upungufuwanafasizaajirailinafasihizoziendanenaidadiyawahitimunaWatanzaniawenyesifazaufanyajiwakazihusika.
Naombanimalizie ,kwakuwaasawanavyuo ,kudumishamaadilinatamadunizaTaifaletu, kwaniuwepowenukatikavyuounawafanyakuwakioo cha jamiihivyomnapaswakufuatatabia, maadilinamienendomyemakatikamaishayenuyakilasiku. KwakudumishamaadilimtakuwammetoamchangomkubwakwaTaifakwenyemapambanodhidiyamaradhimbalimbaliyakuambukiza.
Kwamaranyinginetenaniwapongezenakuwatakiamafanikiomemauongoziwachuo,nawahitimuwotekwakufanikiwakufikakatikasikuhiimuhimuhukupianikiwaasa wale wanaobakikufungamikandailimuwezekufikiamalengoyenu,yafamiliazenunayaTaifakwaUjumla.
Asanteni.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni