Jumamosi, 22 Machi 2014

Na:Dacico Matukio

Swala la kuapishwa kwa Raisi mteule wa Dar-es-salaam city college Bw. Goodluck Kajuna limezua gumzo kubwa chuoni humo kwani zoezi la kuapishwa kwake limekuwa kizungu mkuti pasipo mwanachuo yeyote kufahamu ataapishwa lini. Tume ya uchaguzi imeachwa njia panda kwani siku waliyopanga kumwapisha/kumlisha kiapo kuhahirishwa . wanachuo wengi chouni humo kwani hawajui nani wamfute ili kufikisha matatizo yao yaki elimu na mengine yaki binafsi ambayo huwezi kumwambia mwalimu bali kiongozi wa chuo.
Like ·  ·  · 23 hours ago ·


  • 2 people like this.
  • Maria Chausi Wana2boa bana!
    20 hours ago · Like · 1
  • Albert Kenedy kama chuo kikubwa kinakuwa na matatizo hayo mataw itakuaje ebu fanyien kumwapisha kuepusha tatizo mnakuwa kama sio wasomi au hamkulizika na uteuz wake mpaka mnaamuwa kufanya hayo muwe m,fano wa kuigwa nyie mkiwa ivo wa mbeya/sumbwanga watafika wap rekebishen utaratibu uwe sawa jaman sio vizuri
    12 hours ago · Like · 1
  • Mwambazi Martini Haina maana manegment kuwepo oficn coz hawana msaada kwa wanachuo
  • Mpalule Shaban

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni